Wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na kiungo wa Simba SC, Mohamed Ibrahim 'Mo' (kushoto) anayecheza kwa mkopo Namungo FC wakifanya mazoezi Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Magomeni Kagera, Dar es Salaam kipindi hiki ligi hiyo imesimama kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Tencent Markets Up to $4.5 Billion Bond Deal
-
Tencent's dollar and offshore yuan offering draws billions in orders as
investors watch refinancing and AI investment plans.
39 seconds ago



.png)
0 comments:
Post a Comment