Wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na kiungo wa Simba SC, Mohamed Ibrahim 'Mo' (kushoto) anayecheza kwa mkopo Namungo FC wakifanya mazoezi Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Magomeni Kagera, Dar es Salaam kipindi hiki ligi hiyo imesimama kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Kylian Mbappe filmed kicking field goals on a trip to the LA Rams' SoFi stadium
-
Mbappe, who is spending his summer break Stateside, was filmed kicking
field goals at the LA Rams' SoFi stadium in Los Angeles.
Dakika 35 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni