Wachezaji wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, beki wa Yanga, Juma Abdul (kulia) na kiungo wa Simba SC, Mohamed Ibrahim 'Mo' (kushoto) anayecheza kwa mkopo Namungo FC wakifanya mazoezi Uwanja wa Mwalimu Nyerere, Magomeni Kagera, Dar es Salaam kipindi hiki ligi hiyo imesimama kutokana na mlipuko wa maambukizi ya virusi vya corona, vinavyosababisha ugonjwa wa COVID19
Australia's Smith out of third Test with illness
-
Usman Khawaja, who was left out after losing his place after experiencing
back spasms in the first Test, replaces Steve Smith in the Australia XI in
Adelaide.
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment