Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao wa 5-2 dhidi ya Frankfurt katika mchezo wa Bundesliga, mabao ya Leon Goretzka dakika ya 17, Thomas Muller dakika ya 41, Robert Lewandowski dakika ya 46, Alphonso Davies dakika ya 61 na Martin Hinteregger aliyejifunga dakika ya 74 ambaye pia alifunga mabao yote ya timu yake dakika za 52 na 55. Kwa ushindi huo, Bayern Munich inaendelea kuongoza Bundesliga kwa pointi nne zaidi ya Borussia Dortmund (61-57) baada ya tmu zote kucheza mechi 27 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kelly Piquet likes a post defending Nelson Piquet despite racial slur against Sir Lewis Hamilton
-
Piquet called Hamilton the n-word while referring to the superstar on a
podcast last November, having discussed the crash between him and
Verstappen at the...
Dakika 26 zilizopita
0 maoni:
Chapisha Maoni