Mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 37 akimalizia pasi ya 'mshikaji' wake, Mfaransa Paul Pogba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu, Manchester City Alfajiri yaa leo Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 39 akimalizia pasi ya Henrikh Mkhitaryan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
The most dramatic promotion ever! York City back in the EFL after
103rd-minute equaliser... breaking the hearts of Rochdale - who thought
their goal had won it just moments before and celebrated with a pitch
invasion
-
The pitch at the Crown Oil Arena had only just been cleared of Rochdale
fans celebrating what appeared to be another dramatic late winner by
Emmanuel Diese...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment