Mshambuliaji Mbelgiji Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 37 akimalizia pasi ya 'mshikaji' wake, Mfaransa Paul Pogba katika ushindi wa 2-0 dhidi ya mahasimu, Manchester City Alfajiri yaa leo Uwanja wa NRG mjini Houston, Texas, Marekani. Bao la pili la United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 39 akimalizia pasi ya Henrikh Mkhitaryan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tastes like promotion! Ed Sheeran celebrates his beloved Ipswich Town
securing a place in the Premier League as he drinks a beer with fans in
Miami
-
Pop sensation Ed Sheeran has been seen celebrating Ipswich Town's promotion
to the Premier League while out in Miami.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment