Marouane Fellaini (kulia) akishangilia na Jesse Lingard (kushoto) baada ya kuifungia timu yake bao dakika ya 17 katika sare ya 1-1 na Celta Vigo ya Hispania kwenye mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford. Bao la Vigo lilifungwa na Facundo Roncaglia dakika ya 85 na Man United inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 2-1 baada ya kushinda 1-0 Hispania wiki iliyopita na itakutana na Ajax katika fainali Mei 24 nchini Sweden. Refa Ovidiu Alin Hategan wa Romania aliwatoa kwa kadi nyekundu wote, Roncaglia wa Celta Vigo na Eric Bailly kufuatuia kugombana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tottenham made a mess of their game with Liverpool, almost forced their way
back in but lost again - Thomas Frank's side are still prone to
self-implode as proven with two needless red cards, writes MATT BARLOW
-
MATT BARLOW AT THE TOTTENHAM HOTSPUR STADIUM: Thomas Frank's team found the
fight before Christmas. Not until they were two goals behind and down to 10
men...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment