Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji Granada kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nuevo Los Carmenes, Granada usiku wa Jumapili. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 64, Matthieu Saunier aliyejifunga dakika ya 83 na Neymar dakika ya 90 na ushei wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Jeremie Boga dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WNBA legend Candace Parker, 38, announces retirement and vows to own 'both
an NBA & WNBA team'
-
Parker is the only player in league history to win a championship with
three different teams - the Las Vegas Aces, Chicago Sky and L.A. Sparks.
She also ha...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment