Luis Suarez akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 44 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya wenyeji Granada kwenye mchezo wa La Liga Uwanja wa Nuevo Los Carmenes, Granada usiku wa Jumapili. Mabao mengine ya Barca yalifungwa na Paco Alcacer dakika ya 64, Matthieu Saunier aliyejifunga dakika ya 83 na Neymar dakika ya 90 na ushei wakati la kufutia machozi la wenyeji lilifungwa na Jeremie Boga dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
I’m not just here to sing; I’m here to create experience –Ortez
-
It’s the dawn of a new era, as electrifying singer/songwriter, Olorunfemi
Otedola Damilola aka Ortez, is crowned the new face of the industry. With a
voi...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment