Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 100 kwenye michuano ya klabu Ulaya, kufuatia kuifungia Real Madrid mabao yote mawili dakika za 47 na 77 ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji Bayern Uwanja wa Munich Allianz Arena mjini Munich katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa. Arturo Vidal alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 25 akimalizia pasi ya Thiago Alccntara, lakini akapiga juu mkwaju wa penalti dakika ya 45 ambao Bayern walizawadiwa baada ya Dani Carvajal kuunawa mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
This isn't the first time Liam Rosenior has brought heat on himself with a
goalkeeping gamble - here's why he will back Filip Jorgensen despite PSG
errors... and what Chelsea will do with their goalkeepers this summer
-
KIERAN GILL: While it is hard not to think Liam Rosenior has created an
unnecessary headache for himself, history tells us Chelsea's headstrong
head coach ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment