Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 100 kwenye michuano ya klabu Ulaya, kufuatia kuifungia Real Madrid mabao yote mawili dakika za 47 na 77 ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji Bayern Uwanja wa Munich Allianz Arena mjini Munich katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa. Arturo Vidal alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 25 akimalizia pasi ya Thiago Alccntara, lakini akapiga juu mkwaju wa penalti dakika ya 45 ambao Bayern walizawadiwa baada ya Dani Carvajal kuunawa mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Beloved Candy Store Chain to Close Over ‘Economic Pressures’ After 141
Years in Business
-
Lammes Candies, which first opened in 1885, will shut all of its Texas
location
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment