Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza kufikisha mabao 100 kwenye michuano ya klabu Ulaya, kufuatia kuifungia Real Madrid mabao yote mawili dakika za 47 na 77 ikitoka nyuma kwa 1-0 na kushinda 2-1 dhidi ya wenyeji Bayern Uwanja wa Munich Allianz Arena mjini Munich katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa. Arturo Vidal alianza kuwafungia wenyeji dakika ya 25 akimalizia pasi ya Thiago Alccntara, lakini akapiga juu mkwaju wa penalti dakika ya 45 ambao Bayern walizawadiwa baada ya Dani Carvajal kuunawa mpira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham disagrees with Real Madrid team-mate Aurelien Tchouameni
over Bayern Munich star's ability... as he insists to the French
midfielder: 'He's better than your boy!'
-
Eyebrows were raised when the 30-year-old joined Thomas Tuchel 's side on
loan after falling out of favour at Tottenham following the appointment of
Ange P...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment