Wachezani wa Mouloudia Clab Alger wakifanya mazoezi jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza wa mchujo kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kesho dhidi ya wenyeji, Yanga kwenye Uwanja huo
MC Alger walifanya mazoezi mepesi ili kuuzoea Uwanja wa Taifa
MC Alger waliowasili jana usiku kwa ndege yao maalum ya kodi walionekana wachangamfu kwenye mazoezi yao
Na wana wana wachezaji wengi wenye maumbo makubwa
Lakini pia wanaonekana ni wenye kunyumbulika pamoja na ukubwa wa miili yao
Hapa wakijadiliana baada ya mazoezi yao, huku Waandishi wao waliokuja nao wakichukua habari
Why Manly Sea Eagles coach Anthony Seibold is fuming at the NRL after three
straight losses
-
Anthony Seibold has urged the NRL to reconsider its scheduling after
Manly's season was turned upside down by playing three games in 11 days
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment