Wachezani wa Mouloudia Clab Alger wakifanya mazoezi jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam kujiandaa na mchezo wa kwanza wa mchujo kuwania kuingia hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika kesho dhidi ya wenyeji, Yanga kwenye Uwanja huo
MC Alger walifanya mazoezi mepesi ili kuuzoea Uwanja wa Taifa
MC Alger waliowasili jana usiku kwa ndege yao maalum ya kodi walionekana wachangamfu kwenye mazoezi yao
Na wana wana wachezaji wengi wenye maumbo makubwa
Lakini pia wanaonekana ni wenye kunyumbulika pamoja na ukubwa wa miili yao
Hapa wakijadiliana baada ya mazoezi yao, huku Waandishi wao waliokuja nao wakichukua habari
Pacers HC: Tyrese Haliburton Back Injury a 'Concern'; Expected to Play G2
vs. Knicks
-
Indiana Pacers coach Rick Carlisle is expecting Tyrese Haliburton to suit
up for Game 2 of the team's playoff series with the New York Knicks but
acknowled...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment