Almasi Kassongo (wa pili kulia walioketi) baada ya kutetea nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA) katika Uchaguzi Mkuu wa chama hicho uliofanyika hoteli ya Lamada, Dar es Salaam jana akipata kura 12 dhidi ya kura tisa za mpinzani wake, Peter Muhinzi. Alionao ni viongozi aliochaguliwa nao Salum Mwaking’inda, Makamu Mwenyekiti, Msanifu Kondo, Katibu Mkuu, Issa Masoud, Mweka Hazina, Shaffih Dauda Mjumbe Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Lupiana, mwakilishi wa klabu, Amour Amour, Chichi Hassan na Funua Ally Wajumbe wa Kamati ya Utendaji
Steadfast FC set for substantial windfall from Fatawu Issahaku's potential
transfer to Leicester City
-
Ghanaian second-tier club Steadfast FC stands to reap significant rewards
if an agreement is finalised between Sporting CP and Leicester City for the
perma...
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment