Almasi Kassongo (wa pili kulia walioketi) baada ya kutetea nafasi yake ya Uenyekiti wa Chama cha Soka Dar es Salaam (DRFA) katika Uchaguzi Mkuu wa chama hicho uliofanyika hoteli ya Lamada, Dar es Salaam jana akipata kura 12 dhidi ya kura tisa za mpinzani wake, Peter Muhinzi. Alionao ni viongozi aliochaguliwa nao Salum Mwaking’inda, Makamu Mwenyekiti, Msanifu Kondo, Katibu Mkuu, Issa Masoud, Mweka Hazina, Shaffih Dauda Mjumbe Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Lupiana, mwakilishi wa klabu, Amour Amour, Chichi Hassan na Funua Ally Wajumbe wa Kamati ya Utendaji
NL Central season preview: Will the Cubs or Brewers emerge as division
champs? Can the Reds and Pirates get in the postseason mix?
-
The Cardinals are in full rebuild mode but should enjoy top prospect JJ
Wetherholt's debut this season.
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment