Roberto Firmino akishangilia na Mbrazil mwenzake, Philippe Coutinho baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 72 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji Stoke City leo Uwanja wa Bet365, Stoke-on-Trent, Staffordshire kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Bao la kwanza la Liverpool lilifungwa Coutinho dakika ya 70, baada ya Jonathan Walters kuwafungia wenyeji dakika ya 40 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Amankwaah Mireku backs Hearts of Oak to edge Asante Kotoko in Sunday’s
Super Clash
-
Former Hearts of Oak captain Amankwaah Mireku has expressed confidence in
his former club's chances ahead of their high-stakes clash against rivals
Asante ...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment