Mfungaji wa bao pekee la Atletico Madrid, Antoine Griezmann kwa penalti dakika ya 28 katika ushindi wa 1-0 akiwa hewani kuwania mpira dhidi ya wachezaji wa Leicester City, Danny Drinkwater na Ndindi (kulia) katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid. Penalti hiyo ilitolewwa baada ya Marc Albrighton kumchezea rafu Griezmann nje ya boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Graham Potter signs four-year contract extension as Sweden manager despite
overseeing just TWO games since his appointment - and he hasn't registered
a win yet!
-
Graham Potter has signed a four-year contract extension as Sweden head
coach, keeping him in post until 2030 despite the Englishman failing to
record a win...
37 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment