Mfungaji wa bao pekee la Atletico Madrid, Antoine Griezmann kwa penalti dakika ya 28 katika ushindi wa 1-0 akiwa hewani kuwania mpira dhidi ya wachezaji wa Leicester City, Danny Drinkwater na Ndindi (kulia) katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid. Penalti hiyo ilitolewwa baada ya Marc Albrighton kumchezea rafu Griezmann nje ya boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jaden Crumedy NFL Draft 2024: Scouting Report for Carolina Panthers DL
-
HEIGHT: 6'4" WEIGHT: 301 HAND: 9½" ARM: 33" WINGSPAN: 77½" 40-YARD DASH:
4.97 3-CONE: N/A SHUTTLE: 4.66 VERTICAL: 29.5" BROAD: 8'9" POSITIVES — Good
size and…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment