Mfungaji wa bao pekee la Atletico Madrid, Antoine Griezmann kwa penalti dakika ya 28 katika ushindi wa 1-0 akiwa hewani kuwania mpira dhidi ya wachezaji wa Leicester City, Danny Drinkwater na Ndindi (kulia) katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Vicente Calderon mjini Madrid. Penalti hiyo ilitolewwa baada ya Marc Albrighton kumchezea rafu Griezmann nje ya boksi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Saudi Arabia pulls the plug on £6billion LIV Golf: Breakaway league
announces they need new money - after being abandoned by backers with top
players' futures in doubt
-
LIV Golf has stated its aim to secure long-term funding in the wake of
Saudi Arabia's decision to plug the plug and abandon the project.
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment