Mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Ally Samatta (kushoto) akipambana na beki wa Mechelen katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji usiku wa jana Uwanja wa Laminus Arena, Genk. Genk ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Nikolaos Karelis kwa penalti dakika ya 21 na Leon Bailey dakika ya 51, wakati la wageni lilifungwa na Nicolas Verdier dakika ya 10
UPDATED: FG reveals ranking system for basic, secondary school textbooks
-
From Fred Ezeh, Abuja The Federal Ministry of Education has announced the
introduction of a new ranking system for textbooks used in basic and
secondar...
3 minutes ago




.png)
0 comments:
Post a Comment