Mshambuliaji wa KRC Genk ya Ubelgiji, Mbwana Ally Samatta (kushoto) akipambana na beki wa Mechelen katika mchezo wa Ligi Daraja la Kwanza A Ubelgiji usiku wa jana Uwanja wa Laminus Arena, Genk. Genk ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Nikolaos Karelis kwa penalti dakika ya 21 na Leon Bailey dakika ya 51, wakati la wageni lilifungwa na Nicolas Verdier dakika ya 10
Jarvis Landry to Join Jaguars' Rookie Camp amid Injury Rehab as WR Eyes
Landing Spot
-
Veteran wide receiver Jarvis Landry will attend Jacksonville Jaguars rookie
minicamp this week as he attempts to make a comeback. Landry went unsigned
during…
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment