Mshmabuliaji wa Nice, Mario Balotelli akienda nje baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kosa la kuvua jezi wakati anashangilia baada ya kuifungia timu yake bao la usindi zikiwa zimesalia dakika nne mchezo dhidi ya -Lorient kumalizika katika Ligue ! ya Ufaransa. Ricardo Pereira alianza kuifungia Nice dakika ya 11, kabla ya Benjamin Moukandjo kuwasawazishia wageni dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Poehling scores early in OT, Ducks push Oilers to the brink
-
Ryan Poehling scored 2:29 into overtime, and Anaheim rallied to take a 3-1
series lead on Connor McDavid and Edmonton.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment