Mshmabuliaji wa Nice, Mario Balotelli akienda nje baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kosa la kuvua jezi wakati anashangilia baada ya kuifungia timu yake bao la usindi zikiwa zimesalia dakika nne mchezo dhidi ya -Lorient kumalizika katika Ligue ! ya Ufaransa. Ricardo Pereira alianza kuifungia Nice dakika ya 11, kabla ya Benjamin Moukandjo kuwasawazishia wageni dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson Taunts Jake Paul as Boxing Match Announced as a Sanctioned, Pro
Fight
-
The Texas Department of Licensing and Regulations is sanctioning the
scheduled bout between Mike Tyson and Jake Paul as an official fight. "Mike
Tyson and…
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment