Beki wa kushoto wa Liverpool, James Milner akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi timu yake kwa penalti dakika ya 84 ikiwalaza 2-1 wenyeji, Swansea City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Liberty. Swansea walitangulia kwa bao la Leroy Fer dakika ya nane, kabla ya Roberto-Firmino kusawazisha dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Guardiola found his best Man City XI
-
Manchester City are finishing the season strongly - having looked at one
stage as if the Premier League title may elude them. Here's how Pep
Guardiola went...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment