// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); VILLA AWEKA REKODI YA KUWA MCHEZAJI WA KWANZA KUSAJILIWA NA MAN CITY YA MAREKANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE VILLA AWEKA REKODI YA KUWA MCHEZAJI WA KWANZA KUSAJILIWA NA MAN CITY YA MAREKANI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, June 02, 2014

    VILLA AWEKA REKODI YA KUWA MCHEZAJI WA KWANZA KUSAJILIWA NA MAN CITY YA MAREKANI

    KLABU ya New York City FC imetangaza kumsajili mwanasoka wa kimataifa wa Hispania, David Villa kwa Mkataba wa miaka mitatu.
    Timu hiyo mpya ya Ligi Kuu ya Marekani maarufu kama Major League Soccer, ambayo inamilikiwa kwa pamoja na Manchester City na New York Yankees, wamethibitisha katika ukurasa wao wa Twitter kuwa  mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 32 anakuwa mchezaji wa kwanza kabisa kusajiliwa na klabu hiyo.
    Wa kwanza kati ya wengi... New York FC impost picha hii ya David Villa akiwa ameshika jezi yao kwenye ukurasa wao wa Twitter
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VILLA AWEKA REKODI YA KUWA MCHEZAJI WA KWANZA KUSAJILIWA NA MAN CITY YA MAREKANI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top