// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SASA WAWEZA KUONA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA LIVE UKIWA SAFARINI KWENYE NDEGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SASA WAWEZA KUONA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA LIVE UKIWA SAFARINI KWENYE NDEGE - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Tuesday, June 10, 2014

    SASA WAWEZA KUONA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA LIVE UKIWA SAFARINI KWENYE NDEGE

    MECHI zote 64 za Kombe la Dunia zitaonyeshwa kwenye ndege dunia nzima kwa mara ya kwanza kihistoria.
    Dili hilo litafanyika kupitia channel ya Sport 24 itakayoonyesha mechi hizo kutoka Brazil, manna yake abiria hawatakuwa na wasiwasi wakiwa safarini watakosa mechi za timu zao.
    Jumla ya mashirika tisa ya ndege yakiwemo Lufthansa, Emirates, Etihad ana Turkish Airlines yamesaini Mkataba huo.

    Burudani: Lufthansa ni moja ya mashirika ya ndege yatakayoonyeha mechi za Kombe la Dunia angani

    Mechi nyingi zitaonyeshwa moja kwa moja wakati zinachezwa, ikiwemo ya ufunguzi wa mashindano baina ya wenyeji Brazil na Croatia Juni 12.
    Picha za mechi zitachukuliwa na timu ya kampuni ya matangazo ya Televisheni ya FIFA, kabla ya kusafirishwa kwenye ndege na kampuni ya IMG Media.
    Richard Wise, Rais Mkuu wa IMG Media, amesema: "Tumejifunga kuonyesha tukio hilo kubwa moja kwa moja kupitia Sport 24,".
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SASA WAWEZA KUONA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA LIVE UKIWA SAFARINI KWENYE NDEGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top