// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); RONALDO AANZA MAZOEZI, URENO SASA WANAPUMUA KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE RONALDO AANZA MAZOEZI, URENO SASA WANAPUMUA KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Sunday, June 08, 2014

    RONALDO AANZA MAZOEZI, URENO SASA WANAPUMUA KOMBE LA DUNIA

    MWANASOKA bora wa dunia, Cristiano Ronaldo amerejesha matumaini Ureno kuelekea Kombe la Dunia baada ya kuanza tena mazoezi kufuatia kupata ahueni ya maumivu ya misuli yaliyokuwa yakimsumbua.
    Mshambuliaji huyo wa Real Madrid amekuwa akisumbuliwa na maumivu ya misuli fulani kwenye mguu wake wa kushoto na kulikuwa kuna wasiwasi aneukosa mchezo wa kwanza wa Kombe la Dunia kati ya Ureno na Ujerumani Juni 16.
    Pamoja na hayo, Chama cha Soka Ureno kimethibitisha kurejea kwa mchezaji huyo siku tisa kabla ya mchezo wao wa kwanza mjini Salvador.
    Amerudi! Cristiano Ronaldo ameanza mazoezi na Ureno kujiandaa na Kombe la Dunia
    On the mend: The Real Madrid superstar has been struggling with persistent thigh and knee injuries
    Ronaldo akinyoosha misuli yake wakati wa mazoezi ya Ureno jana
    Talisman: Cristiano Ronaldo
    Portugeezer: Cristiano Ronaldo
    Cristiano Ronaldo sasa anatarajiwa kucheza dhidi ya Ujerumani katika mchezo wa kwanza wa Ureno
    He likes short shorts! Cristiano Ronaldo was forced to miss Portugal's recent warm up friendly against Mexico
    Knee-sy does it: The hopes of a nation will rest on Cristiano Ronaldo's shoulders in Brazil


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AANZA MAZOEZI, URENO SASA WANAPUMUA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top