// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); PIGO UJERUMANI, MARCO REUS SASA HATIHATI KUCHEZA KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE PIGO UJERUMANI, MARCO REUS SASA HATIHATI KUCHEZA KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Saturday, June 07, 2014

    PIGO UJERUMANI, MARCO REUS SASA HATIHATI KUCHEZA KOMBE LA DUNIA

    KIUNGO tegemeo wa Ujerumani, Marco Reus yuko hatihati kukosa Fainali za Kombe la Dunia baada ya kutonesha kifundo chake cha mguu akiichezea nchi katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Armenia ikishinda 6-1.
    Kiungo huyo alitolewa dakika ya 43 timu yake ikiwa haijapata bao hats moja na kipindi cha pili ikatikisa nyavunza wapinzani mara sita.
    Reus alipelekwa hospital kwa ajili ya kufanyiwa uchunguzi zaidi na taarifa zaidi inatarajiwa kutolewa leo juu ya hali yake na mustakabali wake kwenye michuano hiyo inyoanza baadaye mwezi huu Brazil.
    Maumivu: Kiungo wa Ujerumani, Marco Reus akigalagala huku akiugulia maumivu baada ya kutonesha kifundo cha mguu jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PIGO UJERUMANI, MARCO REUS SASA HATIHATI KUCHEZA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top