// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); PIGO UBELGIJI, LUKAKU AUMIA ENKA, KAZI YA WATUNISIA HIYO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE PIGO UBELGIJI, LUKAKU AUMIA ENKA, KAZI YA WATUNISIA HIYO - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Monday, June 09, 2014

    PIGO UBELGIJI, LUKAKU AUMIA ENKA, KAZI YA WATUNISIA HIYO

    MSHAMBULIAJI Romelu Lukaku anaweza kukowa mechi ya kwanza ya Kombe la Dunia baada ya kuumia kifundo cha mguu akiiwezesha Ubelgiji kushinda 1-0 dhidi ya Tunisia mjini Brussels juzi.
    Mpachika mabao huyo mwenye umri wa miaka 21 hatofanya mazoezi kwa siku nne, manna yake yuko shakani kucheza mechi ya kwanza ya Ubelgiji ya Kundi H dhidi ya Algeria Juni 17.
    Mashabiki wa Ubelgiji kwa ujumla watakuwa na hofu kwa sababu tayari wamempoteza mshambuliaji wa Aston Villa, Christian Benteke katika kikosi cha Kombe la Dunia baada ya kuumia miezi miwili iliyopita, akimuacha Lukaku abaki mshambuliaji pekee wa kwanza.

    Majeruhi: Mshambuliaji wa Ubelgiji, Romelu Lukaku aliumia enka juzi timu yake ikishinda 1-0 dhidi ya Tunisia mjini Brussels
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: PIGO UBELGIJI, LUKAKU AUMIA ENKA, KAZI YA WATUNISIA HIYO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top