// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); CAMEROON YAPIGWA KIDUDE NA MEXICO KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE CAMEROON YAPIGWA KIDUDE NA MEXICO KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, June 13, 2014

    CAMEROON YAPIGWA KIDUDE NA MEXICO KOMBE LA DUNIA

    BAO pekee la Oribe Peralta dakika ya 61 limeipa mwanzo mzuri Mexico baada ya kuilaza 1-0 Cameroon katika mchezo wa Kundi A Kombe la Dunia jioni hii Uwanja wa Dunas mjini Natal.
    Refa wa Colombia, Wilmar Roldan alikataa mabao mawili ya Mexican akida mfungaji, mshambuliaji wa zamani wa Spurs, Giovani dos Santos alikuwa ameotea.

    Ola, umemkosa: Oribe Peralta (kushoto) akiifungia bao pekee la ushindi Mexico dhidi ya Cameroon

    Matokeo hayo yanaiweka Mexico katika mazingira mazuri ya kufuzu sambamba na vinara wa kundi hilo, wenyeji Brazil ambao watamenyana nao Jumanne mjini Fortaleza.
    Kikosi cha Mexico kilikuwa: Ochoa, Layun, Moreno, Marquez, Rodriguez, Aguilar, Guardado/Fabian dk69, Vazquez, Herrera, Giovani na Peralta/Hernandez dk74. 
    Cameroon: Itandje, Djeugoue/Nounkeu dk45, N'Koulou, Chedjou, Assou-Ekotto, Song/Webo dk79, Mbia, Enoh, Moukandjo, Eto'o na Choupo-Moting. 
    Ahead: Peralta wheels away in celebration after given Mexico a deserved lead in the Group A clash
    Kiboko yao: Peralta akishangilia baada ya kuifungia Mexico
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CAMEROON YAPIGWA KIDUDE NA MEXICO KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top