• HABARI MPYA

    Sunday, November 25, 2012

    STARS NA SUDAN KATIKA PICHA LEO KAMPALA

    Kikosi cha timu ya taifa ya Bara, Kilimanjaro Stars kilichoifunga 2-0 Sudan leo Uwanja wa Mandela, Namboole, Kampala, Uganda katika mchezo wa Kundi B wa Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge 2012. Kutoka kulia waliosimama ni Nahodha Juma Kaseja, Kevin Yondan, Mwinyi Kazimoto, John Bocco, Erasto Nyoni na Shomari Kapombe. Walioinama kutoka kushoto ni Salum Abubakar, Simon Msuva, Amir Maftah, Frank Domayo na Mrisho Ngassa.

    John Bocco 'Adebayor' akigombea mpira na beki wa Sudan

    Mashabiki Stars kwa raha zao

    Wachezaji Stars wakimpongeza Bocco baada ya kufunga bao la kwanza

    Benchi la Ufundi Stars, kutoka kushoto kocha Mkuu, Kim Poulsen, Msaidizi wake, Sylvester Marsh, Meneja, Leopold Tasso 'Mukebezi na kocha wa makipa Juma Pondamali

    Waandishi wa Habarfi wa Tanzania waliokuja Kampala kutoka kulia Alex Luambano, Sostenes Nyoni, Timzo Kalugiwa, Somoe Ng'itu, Zaituni Kibwana wakiwa na rais wa CECAFA, Leodegar Tenga na Katibu wake, Nicholaus Musonye

    Amir Maftah akimtoka beki wa Sudan

    Erasto Nyoni akitafuta mbonu za kumtoka beki wa Sudan

    Salum Abubakar akigombea mpira na kiungo wa Sudan

    Simon Msuva akigombea mpira na beki wa Sudan

    Mrisho Ngassa akimtoka beki wa Sudan

    John Bocco aliingia nao mpira nyavuni kufunga bao la pili 


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: STARS NA SUDAN KATIKA PICHA LEO KAMPALA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top