Kocha wa
Sudan, Mubarak Suleiman akifuatilia mchezo wa Kundi B, Kombe la Mataifa ya
Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge Uwanja wa Mandela, Namboole,
Kampala, Uganda kati ya timu yake na Somalia, uliomalizika kwa sare ya bila
kufungana. Kocha huyo anatumikia adhabu kwa kosa la kutohudhuria Mkutano na Waandishi
wa Habari, baada ya kufungwa mabao 2-0 na Tanzania Bara Jumapili.
Manchester United F.C. News
-
Ahead of our latest clash with Sheffield United, test your knowledge of our
previous encounters with the South Yorkshire outfit.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...