Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan bIbrahimovic akipiga kichwa kufunga bao timu yake ambalo hata hivyo lilikataliwa kwa madai alikuwa ameotea. Zlatan akafunga kwa penalti dakika ya 90 na ushei kuipatia United bao la kusawazisha baada ya Phil Jagielka kutangulia kuifungia Everton dakika ya 22 Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Liverpool AGREE deal with Feyenoord to make Arne Slot Reds' new manager, as
Dutch side accept compensation package for boss to replace Jurgen Klopp
-
Arne Slot is set to be named the new manager of Liverpool , after the club
agreed a compensation package with Feyenoord.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment