Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan bIbrahimovic akipiga kichwa kufunga bao timu yake ambalo hata hivyo lilikataliwa kwa madai alikuwa ameotea. Zlatan akafunga kwa penalti dakika ya 90 na ushei kuipatia United bao la kusawazisha baada ya Phil Jagielka kutangulia kuifungia Everton dakika ya 22 Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cheltenham festival winner Shishkin dies in tragic accident after
fracturing hind leg as Nicky Henderson pays tribute to a 'great horse,
friend and warrior'
-
DOMINIC KING: Shishkin, a beautiful chaser who had won a clutch of jump
racing's biggest prizes, was due to head to Ireland for the Punchestown
festival on...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment