Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan bIbrahimovic akipiga kichwa kufunga bao timu yake ambalo hata hivyo lilikataliwa kwa madai alikuwa ameotea. Zlatan akafunga kwa penalti dakika ya 90 na ushei kuipatia United bao la kusawazisha baada ya Phil Jagielka kutangulia kuifungia Everton dakika ya 22 Uwanja wa Old Trafford katika mchezo wa Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jamie Carragher criticises Tottenham's 'academy' defending in defeat by
Nottingham Forest as he brands them 'naive' and hits out at Ange
Postecoglou's approach
-
Jamie Carragher criticised Tottenham following their defeat by Nottingham
Forest as he claimed that Ange Postecoglou's side resemble an 'academy'
team defe...
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment