Wachezaji wa Yanga wakimpongeza kiungo Haruna Niyonzima (katikati kulia) baada ya kufunga bao la ushindi dakika ya 56 wakiilaza 2-1 Ruvu Shooting jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Ruvu Shooting walitangulia kwa bao la Abrahman Mussa dakika ya saba kabla ya Simon Msuva kuisawazishia Yanga dakika ya 32 akimalizia pasi ya Nahodha Niyonzima
Simon Msuva akimtoka beki wa Ruvu Shooting, Mao Bofu
Kiungo wa Ruvu, Said Madega (katikati) akipambana na washambuliaji wa Yanga, Obrey Chirwa (kulia) na Amissi Tambwe (kushoto)
Tambwe akimtoka Shaibu Nayopa wa Ruvu Shooting
Haruna Niyonzima (kushoto) akimtoka Mau Boffu
Mshambuliaji wa Yanga, Donald Ngoma akimtoka beki wa Ruvu, Renatus Kisase
The NEW hardest puncher in the world! Ex-World's Strongest Man winner Eddie
Hall breaks UFC star Alex Pereira's record on power-measuring machine
-
Former World's Strongest Man Eddie Hall has smashed the record for the
hardest punch ever, just two weeks after UFC star Alex Pereira set the last
benchmark.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment