Mkongwe Zlatan Ibrahimovic akishangilia baada ya kufunga bao lake la 17 katika Ligi Kuu ya England dakika ya 30 Uwanja wa Light katika mchezo dhidi ya wenyeji, Sunderland, ambao Manchester United wameshinda 3-0. Mabao mengine ya Man United yamefunga na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 46 na Marcus Rashford dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Freddie Flintoff opens up 'learning to accept' the scars of his near-fatal
Top Gear crash as footage is seen for the first time - and reveals details
of his eight-month recovery
-
Speaking on The Jonathan Ross Show, Flintoff admitted he did not leave the
house for around six to seven months as he attempted to cope mentally with
his s...
22 minutes ago
0 comments:
Post a Comment