SERENGETI BOYS NA BLACK STARLETS KATIKA PICHA JANA TAIFA
Mshambuliaji wa timu ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys, Assad Juma (kulia) akimtoka Lavesh Gabriel wa Ghana, Back Starlets katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2
Kiungo wa Tanzania, Shaaban Zubeiry Ada (katikati) akimdhibiti kiungo wa Ghana, Lavesh Gabriel (kushoto)
Kiungo wa Tanzania, Abdallah Rashid (kulia) akitafuta maarifa ya kuwapita wachezaji wa Ghana
Beki wa Tanzania, Nickson Kibabage akimlamba chenga mchezaji wa Ghana
Shaaban Zubeiry wa Serengeti Boys akipiga mpira mbele ya Lavesh Gabriel wa Ghana
Waziri wa Habari Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo, Dk Harison Mwakyembe akizungumza wakati wa kukabidhi bendera ya taifa kwa wachezaji wa Serengeti Boys ambao Jumatano wanakwenda Morocco kuweka kambi ya mwezi mmoja kujiandaa fainali za Mataifa ya Afrika nchini Gabin mwezi ujao
Waziri Mwakyembe (kulia) akimkabidhi bendera Nahodha wa Serengeti Boys, Ally Msengi (katikati) na kushoto ni Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi
Sehemu ya wanafunzi wa shule ya Msingi waliohudhuria mchezo wa jana
Kikosi cha jana kilichoanza mechi ya jana na kikosi ni kikosi cha Tanzania
Onana costs Man Utd as Burnley grab draw
-
Keeper Andre Onana costs Manchester United victory as Zeki Amdouni converts
a late penalty to earn a point for relegation-threatened Burnley.
Jadon Sancho überholt Tony Woodcock
-
Borussia Dortmund kam besser ins Spiel, hatte in den ersten 20 Minuten 4:2
Torschüsse, doch am Ende waren es 21:12 aus Sicht der Gastgeber. Garanten
für de...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment