Nyota wa Barcelona, Mbrazil Neymar akitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 65 timu yake ikifungwa 2-0 na wenyeji, Malaga katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga. Mabao ya wenyeji yamefungwa na Sandro Ramirez dakika ya 32 na Jony dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nuno Espirito Santo set to be sacked by West Ham after Premier League
relegation - and with player's wife attacking him after he dropped her
husband for 'no particular reason'
-
Nuno had refused to be drawn on his own future on Sunday after West Ham's
relegation to the Championship was confirmed, but is now expected to leave
the club.
10 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment