Nyota wa Barcelona, Mbrazil Neymar akitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano dakika ya 65 timu yake ikifungwa 2-0 na wenyeji, Malaga katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa La Rosaleda mjini Malaga. Mabao ya wenyeji yamefungwa na Sandro Ramirez dakika ya 32 na Jony dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Furious Channel Nine footy reporter Danny Weidler accuses NRL great Braith
Anasta of threatening to BASH him in remarks caught on video
-
Nine and Sydney Morning Herald journalist Danny Weidler has launched a
stunning broadside at former Bulldogs star turned Fox Sports TV host Braith
Anasta.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment