Alvaro Morata akipongezwa na James Rodriguez baada ya kuifungia mabao matatu Real Madrid dakika za 18, 23 na 48 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Leganes usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Butarque, Leganes kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Real lilifungwa na Rodriguez dakika ya 15, wakati ya Leganes yalifungwa na Gabriel dakika ya 32 na Luciano dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Eagles Rumors: WR John Ross to Attend Rookie Camp as Tryout; No. 9 Draft
Pick in 2017
-
John Ross, the No. 9 pick in the 2017 NFL draft, will attend the
Philadelphia Eagles rookie camp as a tryout, per NFL Network's Mike
Garafolo. Ross, a former…
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment