Alvaro Morata akipongezwa na James Rodriguez baada ya kuifungia mabao matatu Real Madrid dakika za 18, 23 na 48 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Leganes usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Butarque, Leganes kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Real lilifungwa na Rodriguez dakika ya 15, wakati ya Leganes yalifungwa na Gabriel dakika ya 32 na Luciano dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
March Madness 2026: Winners and losers from bracket reveal include Auburn,
Duke, Miami (Ohio) men, South Carolina, UCLA women
-
A pair of No. 1 seeds face particularly difficult paths to the Final Four.
Missouri and the host city of St. Louis, meanwhile, should consider
themselves w...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment