Alvaro Morata akipongezwa na James Rodriguez baada ya kuifungia mabao matatu Real Madrid dakika za 18, 23 na 48 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Leganes usiku wa jana Uwanja wa Manispaa ya Butarque, Leganes kwenye mchezo wa La Liga. Bao lingine la Real lilifungwa na Rodriguez dakika ya 15, wakati ya Leganes yalifungwa na Gabriel dakika ya 32 na Luciano dakika ya 34 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dye & Durham names Mary Filippelli as new chair, Tyler Proud joins board as
director
-
TORONTO — Dye & Durham Ltd, says Mary Filippelli has been appointed chair
of its board of directors until its next annual meeting, replacing Eddie
Smith wh...
2 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment