Na Steven Kinabo, DAR ES SALAAM
LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kwa timu ya Mbeya City kuikaribisha African Lyon ya Dar es Salaam kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kuanza Saa 10.00 jioni.
Ligi itaendele Jumamosi kwa michezo mine, Stand United wakiwa wenyeji wa Mtibwa Sugar ya Morogoro Uwanja wa Kambarage, Shinyanga na Toto Africans wakiikaribisha Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
Mrisho Ngassa ataiongoza Mbeya City dhidi ya African Lyon kesho
Mechi nyingine za Jumamosi, Majimaji ya Songea itaifuata Ruvu Shooting Uwanja wa Mabatini mkoani Pwani - mchezo utakaoanza saa 8.00 mchana wakati JKT Ruvu watakuwa wenyeji wa Azam FC Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.
Kwa mujibu wa ratiba, Jumapili Mbao watacheza na Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza huku Mwadui wakiwa wenyeji wa Ndanda FC ya Mtwara Uwanja wa Mwadui, Shinyanga.
LIGI Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea kwa timu ya Mbeya City kuikaribisha African Lyon ya Dar es Salaam kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya kuanza Saa 10.00 jioni.
Ligi itaendele Jumamosi kwa michezo mine, Stand United wakiwa wenyeji wa Mtibwa Sugar ya Morogoro Uwanja wa Kambarage, Shinyanga na Toto Africans wakiikaribisha Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
Mrisho Ngassa ataiongoza Mbeya City dhidi ya African Lyon kesho
Mechi nyingine za Jumamosi, Majimaji ya Songea itaifuata Ruvu Shooting Uwanja wa Mabatini mkoani Pwani - mchezo utakaoanza saa 8.00 mchana wakati JKT Ruvu watakuwa wenyeji wa Azam FC Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga.
Kwa mujibu wa ratiba, Jumapili Mbao watacheza na Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza huku Mwadui wakiwa wenyeji wa Ndanda FC ya Mtwara Uwanja wa Mwadui, Shinyanga.
0 comments:
Post a Comment