Beki wa Anderlecht, Serigne Mbodji akiteleza kuondosha mpiura miguuni mwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford usiku wa jana katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya michuano ua UEAF Europa League Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, United wakitangulia kwa bao la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 37 kabla ya Leander Dendoncker kuisawazishia Anderlecht dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghanaian defender Terry Yegbe sees red in Elfsborg's victory over Sirius in
Sweden
-
Black Meteors defender, Terry Yegbe was sent off during the Swedish
Allsevenskan game between IF Elfsborg and Sirius on Monday. The Elfsborg
centre-back w...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment