Beki wa Anderlecht, Serigne Mbodji akiteleza kuondosha mpiura miguuni mwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford usiku wa jana katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya michuano ua UEAF Europa League Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, United wakitangulia kwa bao la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 37 kabla ya Leander Dendoncker kuisawazishia Anderlecht dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ajadi hails Arowosaye’s appointment as Pacesetter Minerals Chairman
-
By Seyi Babalola The Oyo Central Senatorial candidate under the banner of
Team Seyi Makinde, Ambassador Olufemi Ajadi Oguntoyinbo, has congratulated
Hon....
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment