Beki wa Anderlecht, Serigne Mbodji akiteleza kuondosha mpiura miguuni mwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford usiku wa jana katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya michuano ua UEAF Europa League Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, United wakitangulia kwa bao la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 37 kabla ya Leander Dendoncker kuisawazishia Anderlecht dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Bayer Leverkusen vs Arsenal - Champions League LIVE: Latest score and
updates as Gunners star returns for Mikel Arteta's men
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Bayer Leverkusen welcome Arsenal to the BayArena, with Isaan
Khan report...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment