Beki wa Anderlecht, Serigne Mbodji akiteleza kuondosha mpiura miguuni mwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford usiku wa jana katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya michuano ua UEAF Europa League Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, United wakitangulia kwa bao la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 37 kabla ya Leander Dendoncker kuisawazishia Anderlecht dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nick Dunlap endures more misery at RBC Heritage after Masters nightmare
-
It comes just days after Dunlap opened up on the 'lowest point' of his
golfing career in a brutally candid statement as he reflected on his
Masters nightmare.
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment