Beki wa Anderlecht, Serigne Mbodji akiteleza kuondosha mpiura miguuni mwa mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford usiku wa jana katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya michuano ua UEAF Europa League Uwanja wa Constant Vanden Stock mjini Brussel, Ubelgiji. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, United wakitangulia kwa bao la Henrikh Mkhitaryan dakika ya 37 kabla ya Leander Dendoncker kuisawazishia Anderlecht dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
2027: What Peter Obi discussed with Jonathan behind closed doors
-
By Lawrence Agbo Former Labour Party presidential candidate Peter Obi has
revealed details of his closed-door meeting with former President Goodluck
Jona...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment