Fabian Delph akishangilia na Leroy Sane baada ya kuifungia Manchester City bao la tatu katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Hull City Uwanja wa Etihad leo katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya City yamefungwa na Ahmed El Mohamady aliyejifunga dakika ya 31 na Sergio Aguero dakika ya 48, wakati la Hull limefungwa na Andrea Ranocchia dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope Leo XIV Declares Artificial Intelligence a Moral Crisis in Sweeping
Manifesto
-
Pope Leo XIV has issued a major warning about artificial intelligence in
his first manifesto as pontiff. He says AI could threaten human dignity,
democracy...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment