Christian Benteke wa Crystal Palace (kulia) akijipinda hewani kumtungua kipa wa Leicester City, Kasper Schmeichel dakika ya 70 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London kuipatia timu yake sare ya 2-2. Bao lingine la Palace lilifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 54, wakati mabao ya Leicester yalifungwa na Robert Huth dakika ya sita na Jamie Vardy dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Toronto police investigating reports of firearm discharge at U.S. consulate
-
TORONTO — Toronto police say they have responded to reports that someone
discharged a firearm at the U.S. consulate in the city's downtown.
47 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment