Christian Benteke wa Crystal Palace (kulia) akijipinda hewani kumtungua kipa wa Leicester City, Kasper Schmeichel dakika ya 70 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Selhurst Park, London kuipatia timu yake sare ya 2-2. Bao lingine la Palace lilifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 54, wakati mabao ya Leicester yalifungwa na Robert Huth dakika ya sita na Jamie Vardy dakika ya 52 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund is spotted looking bemused at Erik ten Hag's decision to
substitute Kobbie Mainoo in Man United's draw with Burnley - which sparked
furious reaction from fans
-
Rasmus Hojlund (inset) cut a bemused figure as Manchester United manager
Erik ten Hag decided to bring midfielder Kobbie Mainoo (left) off during
Saturday'...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment