Isco akishangilia na Marcelo baada ya kuifungia Real Madrid bao la ushindi dakika ya 90 ikiilaza 3-2 Sporting Gijon katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Manispaa ya El Molinon mjini Gijon. Isco pia alifunga bao la kwanza dakika ya 17 wakati bao lingine la Real lilifungwa na Alvaro Morata dakika ya 59 wakati mabao ya Gijon yamefungwa na Duje Cop dakika ya 14 na Mikel Vesga dakika ya 50 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ebola fears surge on the ground in Congo over rapid spread of a rare type
-
BUNIA, Congo (AP) — Anxious healthcare workers in eastern Congo said
Wednesday they are underprotected and undertrained in a rapidly spreading
Ebola outbre...
14 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment