Mousa Dembele (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake kushangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-min dakika ya 19, Harry Kane dakika ya 48 na Vincent Janssen dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jae'Lyn Withers Announces Return to UNC for 2024-25 Season for Final Year
of CBB
-
North Carolina is getting another member of the 2023-24 ACC regular-season
championship team back for one more year. Forward Jae'Lyn Withers told CBS
Sports'…
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment