Mousa Dembele (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake kushangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-min dakika ya 19, Harry Kane dakika ya 48 na Vincent Janssen dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Galatasaray 1-0 Liverpool: Arne Slot's men were lucky to escape a mauling
in Istanbul, writes LEWIS STEELE, after a string of sloppy mistakes and
controversial goal being ruled out
-
When the ears of Liverpool's stars recover after the dizzying noise of the
most intimidating atmosphere many will ever face, they may hear the voice
of Slo...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment