Mousa Dembele (katikati) akikimbia na wachezaji wenzake kushangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Bournemouth kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa White Hart Lane, London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Son Heung-min dakika ya 19, Harry Kane dakika ya 48 na Vincent Janssen dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Poehling scores early in OT, Ducks push Oilers to the brink
-
Ryan Poehling scored 2:29 into overtime, and Anaheim rallied to take a 3-1
series lead on Connor McDavid and Edmonton.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment