Diego Costa (kushoto) akimpongeza mchezaji mwenzake, Eden Hazard baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika 20 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth leo Uwanja wa Vitality katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Adam Smith aliyejifunga dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 68 wakati la wenyeji lilifungwa na Josh King dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Pope Leo XIV Declares Artificial Intelligence a Moral Crisis in Sweeping
Manifesto
-
Pope Leo XIV has issued a major warning about artificial intelligence in
his first manifesto as pontiff. He says AI could threaten human dignity,
democracy...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment