Diego Costa (kushoto) akimpongeza mchezaji mwenzake, Eden Hazard baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika 20 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth leo Uwanja wa Vitality katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Adam Smith aliyejifunga dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 68 wakati la wenyeji lilifungwa na Josh King dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Scouts Say Ravens Landed 'Steal' with Nate Wiggins, 'Won' 2024
NFL Draft
-
Some NFL scouts have cited the Baltimore Ravens as a winner in this year's
NFL draft in part because of the team's first-round selection, Clemson
cornerback…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment