Diego Costa (kushoto) akimpongeza mchezaji mwenzake, Eden Hazard baada ya kuifungia Chelsea bao la pili dakika 20 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya wenyeji, AFC Bournemouth leo Uwanja wa Vitality katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Chelsea yalifungwa na Adam Smith aliyejifunga dakika ya 17 na Marcos Alonso dakika ya 68 wakati la wenyeji lilifungwa na Josh King dakika ya 42 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Brisbane Lions star Lachie Neale slams COWARDLY fans after copping abuse on
social media following shock AFL loss to Collingwood on Thursday
-
Brisbane Lions co-captain Lachie Neale has delivered a blistering rebuke to
online trolls after a wave of abuse followed the team's shock 52-point loss
to ...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment