Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo kwa Mwenyekiti wa Soka la Wanawake Tanzania, Amina Kaluma mjini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kusadia timu ya taifa ya wanawake ya Kilimanjaro Queens, ili kuiwezesha timu hiyo kufanya vizuri katika michuano mbalimbali ndani na nje ya nchini. Kulia ni Kocha Mkuu wa timu hiyo, Sebastian Nkomwa na Nahodha, Sophia Mwasikili.
Peter Crouch forks out £7,500 on 1,000 pints of Guinness after losing
Cheltenham bet
-
Crouch has been a prominent figure at Cheltenham over the years and has
been an ever-present at this year's festival too, but found himself out of
pocket w...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment