Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo kwa Mwenyekiti wa Soka la Wanawake Tanzania, Amina Kaluma mjini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kusadia timu ya taifa ya wanawake ya Kilimanjaro Queens, ili kuiwezesha timu hiyo kufanya vizuri katika michuano mbalimbali ndani na nje ya nchini. Kulia ni Kocha Mkuu wa timu hiyo, Sebastian Nkomwa na Nahodha, Sophia Mwasikili.
'We will make money' - Sporting CP boss Ruben Amorin on imminent Issahaku
permanent deal with Leicester
-
Sporting CP manager Ruben Amorin has opened up about the impending transfer
of Fatawu Issahaku to Leicester City, shedding light on the club's
strategic ap...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment