Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo kwa Mwenyekiti wa Soka la Wanawake Tanzania, Amina Kaluma mjini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kusadia timu ya taifa ya wanawake ya Kilimanjaro Queens, ili kuiwezesha timu hiyo kufanya vizuri katika michuano mbalimbali ndani na nje ya nchini. Kulia ni Kocha Mkuu wa timu hiyo, Sebastian Nkomwa na Nahodha, Sophia Mwasikili.
Chonkers the sea lion draws crowds to San Francisco's Pier 39
-
An intrepid sea lion nicknamed Chonkers is waddling his way into the hearts
of tourists and locals who have flocked to San Francisco's Pier 39 for a
glimps...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment