Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (kushoto), akikabidhi vifaa vya michezo kwa Mwenyekiti wa Soka la Wanawake Tanzania, Amina Kaluma mjini Dar es Salaam jana, kwa ajili ya kusadia timu ya taifa ya wanawake ya Kilimanjaro Queens, ili kuiwezesha timu hiyo kufanya vizuri katika michuano mbalimbali ndani na nje ya nchini. Kulia ni Kocha Mkuu wa timu hiyo, Sebastian Nkomwa na Nahodha, Sophia Mwasikili.
SEDC, REA to roll out renewable energy for South-East communities
-
Kenneth Udeh from Abuja The South-East Development Commission (SEDC) has
concluded plans with the Rural Electrification Agency (REA) to extend power
supp...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment