Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane akijifuta usoni kwa masikitiko baada ya timu yake kulazimishwa sare ya 1-1 na Eibar katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Bernabeu. Fran Rico alianza kuifungia Eibar dakika ya sita kabla ya Gareth Bale kuwasawazishia wenyeji dakika ya 17 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hire, fire, final - Chelsea's player power may be ugly, but it wins
-
Chelsea are in another FA Cup final - but only after their players showed
up in a way they were no longer doing for Liam Rosenior, writes Phil
McNulty.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment