Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwa ameegemea gari yake mpya aina ya Mercedez Benz Cla220 Cdi AMG Sport ya mwaka 2016 yenye thamani ya zadi ya Sh. Milioni 130 makao makuu ya klabu yake KRC Genk, Laminus Arena, Genk, Ubelgiji. Thamani ya gari hiyo inaweza kupanda hadi zaidi ya Milioni 200 iwapo ataamua kuileta Tanzania.
Chelsea vs Leeds - FA Cup LIVE: Callum McFarlane returns to dugout as
crisis-hit Blues face Daniel Farke's men in FA Cup semi-final
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Chelsea take on Leeds at Wembley in the FA Cup semi-final.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment