Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta akiwa ameegemea gari yake mpya aina ya Mercedez Benz Cla220 Cdi AMG Sport ya mwaka 2016 yenye thamani ya zadi ya Sh. Milioni 130 makao makuu ya klabu yake KRC Genk, Laminus Arena, Genk, Ubelgiji. Thamani ya gari hiyo inaweza kupanda hadi zaidi ya Milioni 200 iwapo ataamua kuileta Tanzania.
Burnley fan is spotted making sick gestures mocking the Munich air disaster
during draw with Man United at Old Trafford... as club vow to help police
'identify and prosecute' supporters over tragedy chanting
-
Footage was posted on social media following Burnley's 1-1 draw against Man
United on Saturday, with one supporter seen making aeroplane gestures with
his ...
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment