Mshambuliaji wa Manchester United, Zlatan Ibrahimovic (kushoto) akijaribu kumpita beki wa Stoke City, Bruno Martins Indi (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa Old Trafford. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1, Man United wakitangulia kwa bao la Anthony Martial dakika ya 69 kabla ya Joe Allen kuisawazishia Stoke dakika ya 81 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star makes heartbreaking confession about her baby son after doing
the unthinkable when she found out she was pregnant: 'I'm not sure I want
him'
-
Brisbane Broncos star Shannon Mato has turned her life around after
learning she was expecting in early 2025.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment