Kocha wa Mchester City, Pep Guardiola akiwa mnyonge baada ya timu yake kuchapwa mabao 2-0 na wenyeji Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane. Mabao ya Spurs yamefungwa na Aleksandar Kolarov na Dele Alli, wakati Erik Lamela alikosa penalti iliyookolewa na kipa wa Man City, Claudio Bravo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jude Bellingham disagrees with Real Madrid team-mate Aurelien Tchouameni
over Bayern Munich star's ability... as he insists to the French
midfielder: 'He's better than your boy!'
-
Eyebrows were raised when the 30-year-old joined Thomas Tuchel 's side on
loan after falling out of favour at Tottenham following the appointment of
Ange P...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment