Kocha wa Mchester City, Pep Guardiola akiwa mnyonge baada ya timu yake kuchapwa mabao 2-0 na wenyeji Tottenham Hotspur katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa White Hart Lane. Mabao ya Spurs yamefungwa na Aleksandar Kolarov na Dele Alli, wakati Erik Lamela alikosa penalti iliyookolewa na kipa wa Man City, Claudio Bravo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Gasperini: “I know how to make Roma stronger. If I have technical
responsibilities, it is right that I be satisfied.”
-
Gian Piero Gasperini, in a press conference, commented on the 2-0 victory
against Bologna thanks to goals from Malen and El Ayanoui. The Grugliasco
coach c...
11 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment