// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); URUGUAY YAENDELEA KUCHAPA CHAPA BILA SUAREZ PASHA PASHA ZA KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE URUGUAY YAENDELEA KUCHAPA CHAPA BILA SUAREZ PASHA PASHA ZA KOMBE LA DUNIA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Thursday, June 05, 2014

    URUGUAY YAENDELEA KUCHAPA CHAPA BILA SUAREZ PASHA PASHA ZA KOMBE LA DUNIA

    WAPINZANI wa England katika Kundi D Kombe la Dunia, Uruguay wameifunga Slovenia mabao 2-0 usiku wa jana.
    Uruguay ilipata bao lake la kwanza kupitia kwa Edinson Cavani aliyeunganisha krosi ya Diego Forlan dakika ya 37 mjini Montevideo.
    Bao la pili la Uruguay lilifungwa na Cristian Stuani zikiwa zimesalia dakika 14 mchezo huo kumalizika. Wakati huo huo mshambuliaji majeruhi wa timu hiyo, Luis Suarez amepiga picha ya kikosi cha wachezaji wote wa timu hiyo kwa ajili ya Kombe la Dunia mwaka huu. Uruguay itaanza na Costa Rica Juni 14 mjini Fortaleza.
    Shangwe: Cavani akishangilia baada ya kuifungia Uruguay jana
    Sharp shot: Luis Suarez was not fit to play but he still made the Uruguay team photo earlier on Wednesday
    Kikosi kamili: Luis Suarez hayuko fiti, lakini jana alipiga picha ya pamoja ya kikosi cha timu hiyo cha Kombe la Dunia
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: URUGUAY YAENDELEA KUCHAPA CHAPA BILA SUAREZ PASHA PASHA ZA KOMBE LA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top