• HABARI MPYA

    Friday, August 17, 2012

    VAN PERSIE VIPIMO SAFI MAN UNITED, SWALI ATAKABIDHIWA JEZI NAMBA NGAPI

    Robin van Persie jana alifanyiwa vipimo vya afya katika hospitali ya Bridgewater katika safari yake ya kuelekea Manchester United na leo, mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 29 atatangazwa rasmi kuuzwa kutoka Arsenal kwa pauni Milioni 24, kabla ya dirisha la usajili wa Ligi Kuu England kufungwa saa 6:00 usiku wa leo.
    United imewapiga bao Manchester City na Juventus katika vita ya kuwania saini ya Mholanzi huyo aliyetua Old Trafford na kuna matumaini Jumatatu akacheza mechi ya ufunguzi ya Ligi Kuu dhidi ya Everton.
    All smiles: Robin van Persie has arrived at Bridgewater Hospital to undergo his Manchester United medical
    Robin van Persie akiwasili hospitali ya Bridgewater
    All smiles: Robin van Persie has arrived at Bridgewater Hospital to undergo his Manchester United medical

    SOURCE: http://www.dailymail.co.uk
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: VAN PERSIE VIPIMO SAFI MAN UNITED, SWALI ATAKABIDHIWA JEZI NAMBA NGAPI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top