2.
Viongozi wa Yanga wakisubiri kuzuru na kuweka mashada ya maua katika makaburi
ya mauaji ya Kimbari mwaka 1994.
|
1.
Yanga wakiwasili katika makaburi ya mauaji ya Kimbari mjini kigali
|
3.
Wachezaji na viongozi wa Yanga wakipata maelezo kabla ya kuingia kutembelea
nyumba ya Makumbusho ya mauaji ya Kimbari
|
5.
Yanga mazoezini Uwanja wa Nyamirambo Kigali jana. Picha zote za Saleh Ally, Mhariri kiongozi, gazeti la Championi.
|
0 comments:
Post a Comment