Beki huyo wa Manchester City aliuamia wakati anaichezea Uingereza katika Michezo ya Olimpiki, mwaka huu Jijini London. Kocha huyo wa City, alisema haswa beki huyo wa kulia alitakiwa kuwa nje ya Uwanja kwa mwezi mmoja.
Micah Richards aliuami Olimpiki
Kiwango hicho kimepanda sasa na Mancini anajiandaa kumkosa kwa miezi miwili.
Haijajulikana kama Richards atahitaji kufanyiwa upasuaji, hadi taarifa za wataalamu waliomfanyia uchunguzi zitakapotolewa.
Habari hizo ni pigo kwa Richards, ambaye anataka kupambana kurejea kwenye kikosi cha England.
Read more: http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2189519/Manchester-City-defender-Micah-Richards-10-weeks.html#ixzz23mUtnxZv


.png)
0 comments:
Post a Comment