Nahodha wa Scotland, Darren Fletcher jana alirejea uwanjani kwa 'mguu mbaya' wakati Manchester United ikifungwa 2-1 na Aberdeen katika mechi maalum kwa ajili ya kumuaga gwiji wa Dons, Neil Simpson.
Kocha wa zamani wa Aberdeen, Sir Alex Ferguson aliwapanga Ryan Giggs, Paul Scholes na Rio Ferdinand katika mechi hiyo maalum ya mchezaji wake wa zamani, ambaye sasa ni Mkuu wa akademi ya vijana ya Pittodrie.
Darren Fletcher akiwa na beji ya Unahodha
Jonny Hayes akifunga bao la kwanza
Hayes (katikati) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Aberdeen
Ryan Giggs akipambana uwanjani
Fletcheruwanjani
Darren Fletcher akisaini autographs
Kocha Msaidizi wa Aberdeen,r Archie Knox (kushoto) akiingia uwanjani akiwa ameongozana na Sir Alex Ferguson
Federico Macheda (kushoto) akichuana na mchezaji wa Aberdeen, Isaac Osbourne
Neil Simpson akiwapungia mikono mashabiki kuwaaga
Shabiki mtoto wa Aberdeen akiwa amevaa mask la Wayne Rooney
VIKOSI
Aberdeen: Langfield; Anderson, Reynolds, Naysmith, Simpson; Milsom, Osbourne, Clark, Hayes; Magennis, Paton
Benchi: Rae, Considine, Vernon, Bell, Low, Hughes, Rogers, Shaughnessy, Brown, Rougvie, Irvine, Tosh
MABAO: Hayes dakika ya 37, Shaughnessy dakika ya 70
Manchester United: De Gea; Michael Keane, Thorpe, Ferdinand, Blackett; Powell, Anderson, Scholes, Giggs; Macheda, Bebe
Benchi: Johnstone, Cole, Blackmore, Fletcher, Fortune, Januzaj, Yorke
BAO: Anderson 81
Refa: Kevin Clancey
SOURCE: http://www.dailymail.co.uk
0 comments:
Post a Comment