Paulo Dybala (kulia) akipeana mkono na Mwenyekiti wa Juventus, Andrea Agnelli (kushoto) baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomuweka Torino hadi mwaka 2022 akilipwa Pauni 110,000 kwa wiki. Amesaini mkataba mpya siku mbili baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 kufunga mabao mawili juzi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Barcelona kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Knicks to face Pacers in Eastern Conference semis
-
The New York Knicks will face the Indiana Pacers in the Eastern Conference
semi-finals after both progress from the first round of the NBA play-offs.
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment