Paulo Dybala (kulia) akipeana mkono na Mwenyekiti wa Juventus, Andrea Agnelli (kushoto) baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomuweka Torino hadi mwaka 2022 akilipwa Pauni 110,000 kwa wiki. Amesaini mkataba mpya siku mbili baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 kufunga mabao mawili juzi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Barcelona kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star could play for his club on Saturday and be behind bars on Tuesday
-
Tigers star Noah Balta could play for Richmond on Saturday and be jailed
for assault on Tuesday after controversial decision to allow him to line up
agains...
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment