Paulo Dybala (kulia) akipeana mkono na Mwenyekiti wa Juventus, Andrea Agnelli (kushoto) baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomuweka Torino hadi mwaka 2022 akilipwa Pauni 110,000 kwa wiki. Amesaini mkataba mpya siku mbili baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 kufunga mabao mawili juzi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Barcelona kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: How a dismal week in the Champions League affects the Premier
League's bid for FIVE spots next season - and why Man United and Co should
have an eye on Thursday's games
-
This means that those countries receive an extra place in the Champions
League, as demonstrated last year when Newcastle came fifth in the Premier
League b...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment