Paulo Dybala (kulia) akipeana mkono na Mwenyekiti wa Juventus, Andrea Agnelli (kushoto) baada ya kusaini mkataba mpya wa miaka mitano utakaomuweka Torino hadi mwaka 2022 akilipwa Pauni 110,000 kwa wiki. Amesaini mkataba mpya siku mbili baada ya mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 kufunga mabao mawili juzi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Barcelona kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Title race TV row: Arsenal handed advantage as Man City's bid to switch
matches is REJECTED
-
Man City's schedule has been complicated further by their progression to
the FA Cup final, requiring their Premier League clash against Bournemouth
on May ...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment