Andros Townsend akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la kwanza dakika ya saba Uwanja wa Selhurst Park, London akimalizia krosi ya Wilfried Zaha usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Palace ilishinda 3-0 mabao mengine yakifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 63 na Luka Milivojevic dakika ya 68 kwa penalti baada ya Townsend kuangshwa kwenye boksi la Arsenal PICHA ZAIDI HONGA HAPA
WWE SmackDown Results: Winners, Live Grades, Reaction, Highlights Before
Backlash
-
Welcome to Bleacher Report's live coverage of WWE SmackDown on May 3. This
week's show took place in Lyon, France, which is also where Saturday's
Backlash ...
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment