Andros Townsend akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la kwanza dakika ya saba Uwanja wa Selhurst Park, London akimalizia krosi ya Wilfried Zaha usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Palace ilishinda 3-0 mabao mengine yakifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 63 na Luka Milivojevic dakika ya 68 kwa penalti baada ya Townsend kuangshwa kwenye boksi la Arsenal PICHA ZAIDI HONGA HAPA
USA narrowly avoids humiliating World Baseball Classic elimination as Italy
beats Mexico with historic home run display from captain
-
The star-studded American team, which features big hitters such as Aaron
Judge and Paul Skenes was left facing the risk of elimination from the
tournament ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment