Andros Townsend akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Crystal Palace bao la kwanza dakika ya saba Uwanja wa Selhurst Park, London akimalizia krosi ya Wilfried Zaha usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Palace ilishinda 3-0 mabao mengine yakifungwa na Yohan Cabaye dakika ya 63 na Luka Milivojevic dakika ya 68 kwa penalti baada ya Townsend kuangshwa kwenye boksi la Arsenal PICHA ZAIDI HONGA HAPA
Aaron Rodgers breaks his silence on pensive beach photos... and finally
reveals what he was listening to
-
DailyMail.com exclusively obtained photos of the free-agent quarterback
walking alone at sunset on the Pacific Coast just hours before he was
officially re...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment