• HABARI MPYA

    Sunday, August 19, 2012

    SAMATTA NA MAZEMBE WAKO MISRI NA ZAMALEK LEO

    Sunday 19 August 2012

    Berekum ChelseavAl Ahly16:00
    ZamalekvTP Mazembe22:00

    Group B

    PosTeamPWDLGFGAGDPts
    1Al Ahly33007259
    2TP Mazembe31115414
    3Berekum Chelsea311168-24
    4Zamalek300326-40
    Print

    Mbwana Ally Samatta, mshambuliaji chipukizi wa kimataifa wa Tanzania, leo anatarajiwa kuiongozxa klabu yake, TP Mazembe katika mchezo wa kwanza wa mzunguko wa pili wa Kundi B, Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zamalek mjini Cairo, Misri. Mazembe inashika nafasi ya pili kwenye kundi hilo kwa pointi zake nne, nyuma ya vinara, Al Ahly wenye pointi tisa na inahitaji lazima kushinda ili kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia Nusu Fainali na kufufua matumaini ya kutwaa taji la tano. Berekum Chelsea ya Ghana pia ina pointi nne, ingawa inazidiwa wastani wa mabao na Mazembe na leo nayo itakuwa mwenyeji wa Al Ahly.  

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SAMATTA NA MAZEMBE WAKO MISRI NA ZAMALEK LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top