Kaimu Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia (kulia) akimkabidhi mchezaji wa timu ya taifa, Said Mohammed Mduda tuzo yake ya kuwa Kipa Bora wa michuano ya COSAFA iliyomalizika wiki iliyopita nchini Afrika Kusini. Mduda aliyekabidhiwa tuzo jana mjini Mwanza jana, alitajwa kipa bora wa michuano akiwa tayari amekwisharejea nyumbani baada ya kuisaidia Taifa Stars kushika nafasi ya tatu kwenye michuano hiyo
Man United told to take action against 'scumbag' fans caught posing as
disabled supporters to get into matches... as charity warns their behaviour
'cannot be tolerated'
-
Mail Sport reported this week that United had received 'multiple'
allegations of non-disabled fans turning up to away games in a wheelchair
using tickets a...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment