Wachezaji wa timu ya Tusker FC ya Kenya wakiwasili katika Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) mjini Dar es Salaam leo, tayari kushirki michuano ya SportPesa Super Cup inayotarajiwa kuanza Juni 5 mwaka huu Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam ikishrikisha timu nane, nne za Tanzania na nne za Kenya
Friday, June 02, 2017
- Blogger Comments
- Facebook Comments
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment